Licha ya jitihada za nyota wa kimataifa Hassan Whiteside aliyefunga pointi 22 peke yake, na kuifanya timu hiyo iongoze kwenye robo ya kwanza ya mchezo huo, Miami haikuweza kujinusuru na ushindi mwembamba wa Houston ambayo ilinufaika na kazi nzuri ya James Harden aliyefunga 28 peke yake.
Asubuhi hii kwa majira ya Afrika mashariki kunafanyika mechi nyingine kubwa za NBA mabingwa wa mwaka 2014, San Antonio Spurs wanacheza na mabingwa wa mwaka 2016 Cleveland Cavaliers, lakini Golden State Warriors wako ugenini kucheza na New York Knicks.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |