Kwa mujibu wa taarifa hiyo iliyothibitishwa na Rais wa kamati ya kitaifa ya Olimpiki Valens Munyabagisha, chama cha ngumi hakikukidhi vigezo vilivyowekwa kwa ajili ya kwenda kushiriki, na kigezo kimojawapo ikiwa ni kuandaa mashindano ya kitaifa jambo ambalo halikufanyika.
Akizitaja timu zitakazoshiriki Rais huyo amesema ni Riadha, Waendesha baiskeli, mpira wa wavu kwa viwanja vya ufukweni na timu ya wanamichezo wa kunyanyua vitu vizito.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |