Nassar alikiri kutenda makosa kumi yaliyotolewa ushahidi jana mahakamani, dhidi ya wasichana na wanawake waliokuwa timu za olimpiki.
Jaji Rosemarie Aquilina alitupilia mbali ombi la Nasser la kusamehewa kwani tayari alikwishaanza kutumikia kifungo cha miaka 60 kutokana na hatia ya kumiliki filamu za ngono za watoto.
Kwa kuhitimisha Jaji huyo alimwambia Nasser hafai kutoka kifungoni na akisema kwa kumsaidia atasaini hati ya kifo chake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |