Maoni hayo yameendelea kutolewa ikiwa ni wiki moja tangu kamati ya kitaifa ya maandalizi ya wanamichezo wanaokwenda kushiriki mashindano hayo kuchagua wachezaji watakaokwenda Australia.
Pia, wadau hao wamesema ni vyema ikawaandaa wachezaji hao, na ikibidi kuwachuja wasiofaa na kuongeza wanaokidhi vigezo tu kutokana na umahiri na si kuingiza siasa, ukabila wala umaeneo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |