Chama cha soka cha Uganda, kimewasihi kuachana na kuwaza kuhusu michuano hiyo kwa kuwa imepita, na sasa waelekeze nguvu zao kwenye ligi kuu kupitia timu wanazozitumikia.
Uganda hawajapata matokeo mazuri kwenye michuano ya Morocco kwa kufungwa mara mbili na kutoa sare kwenye mchezo mmoja katika hatua ya makundi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |