Katerrega mwenye miaka 23 anajiunga na City akitokea klabu ya KCCA aliyokuwa akiitumikia kwa mkopo akitokea AFC Leopards ya Kenya, lakini akiwahi kuzichezea timu za Victoria University na Tusker FC.
Cape Town City ipo katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa ligi kuu nchini Afrika Kusini nyuma ya vinara Mamelodi Sundowns baada ya kucheza mechi 18.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |