Hey ametuma barua ya kuomba kukatisha mkataba kutokana na Amavubi kushindwa kufuzu robo fainali ya mashindano ya Afrika nchini Morocco.
Kutokana na barua hiyo, Rais wa FERWAFA Vincent Nzamitwa, amesema shirikisho hilo linatarajia kufanya mkutano na Wizara ya Michezo ili kulijadili hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |