Kuhusu maandalizi ya kuwa wenyeji wa mashindano hayo, mwenyekiti wa kitaifa wa maandalizi Mossi Yousuf amesema tayari wamekamilisha maeneo muhimu kwa ajili ya mashindano hayo.
Akisisitiza hilo, amesema wiki chache katika mkuu wa Cecafa Nikolas Musonye alitembelea Burundi ambako alikagua viwanja na hoteli zitakazotumiwa na washiriki wa mashindano hayo.
Akivitaja viwanja vitkavyotumika, Yussuf amesema ni Urukundo uliopo Ngozi, Umuco wa Muyinga na Uwanja wa Gitega.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |