Kwa ushindi huo, Simona sasa atacheza mechi ya fainali ambapo atakutana na Caroline Wozniacki wa Denmark ambaye alimfunga Elise Martens kwenye nusu fainali.
Kwa upande wa wanaume, Marin Cilic wa Croatia ametangulia fainali baada ya kumfunga Kylie Edmund wa Uingereza kwa seti ya 3-0 yenye alama 6-2 7-6 na 6-2, na sasa anasubiri mshindi wa mechi nyingine ya nusu fainali inayopigwa leo kati ya Roger Federer na Chung Hyeon.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |