Magoli ya Barcelona katika mechi hiyo yalifungwa na Lionel Messi moja na Luis Suarez moja.
Katika mechi hiyo iliyofanyika kwenye uwanja wa Nou Camp, nyota Felipe Coutinho alicheza kwa mara ya kwanza katika klabu hiyo.
Timu zingine zilizofuzu nusu fainali ya kombe hilo ni, Sevilla, Valencia na Leganes.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |