Serikali ya Uganda iko katika mchakato wa kuendeleza Sera ya Taifa ya unyunyizaji maji ili kuongoza maendeleo na upanuzi wake wa unyunyizaji maji.
Rais Yoweri Musevini anaangalia njia za kujenga sekta kilimo kuwa ya kisasa.
Kwa mujibu wa takwimu rasmi, Uganda ina asilimia ya chini kabisa Afrika Mashariki kwa kutumia uwezo wake wa unyunyizaji maji.
Tanzania ni asilimia 3.6, Kenya ni asilimia 2 na Burundi ni asilimia 1.6.
Afisa kutoka Wizara ya Maji alijulisha jukwaa la Udhibiti wa Wilaya ya Lira kuwa Sera ya Taifa ya Umwagiliaji inaendelezwa kwa sababu serikali inachukua maji ya uzalishaji kwa uzito.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |