Kenya inapoteza mamilioni ya shilingi kwa kuenea kwa vyakula na vifaa vya ujezi vyenye viwango vya chini, Ofisi ya Kenya ya Viwango (Kebs) imesema.
Uchunguzi wa soko unaonyesha kwamba baadhi ya bidhaa zilizoagizwa hazifuati kanuni za afya, usalama na mazingira, Bw Patrick Nduati, Katibu Mkuu wa Uwekezaji na Viwanda amesema.
Shirika la viwango imejenga ofisi ya kanda ya bonde la ufa na maabara ili kuzuia kuingia kwa bidhaa duni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |