• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania: Dar ya ongoza katika uchumi wa pamoja

    (GMT+08:00) 2018-01-29 19:49:36

    Baraza la Uchumi wa Dunia (WEF) imeorodhesha Tanzania kuwa na uchumi bora zaidi miongoni mwa nchi za Afrika mwaka 2018.

    Kulingana na ripoti iliyotolewa na WEF kupitia mradi wake 'Inclusive Development Index (IDI)', Tanzania imechukuwa nafasi ya juu katika uchumi wa pamoja nchini Afrika kutokana na utekelezaji mkubwa wa sera mbalimbali za kiuchumi, ambazo ziwezesha 'wananchi' kushiriki kikamilifu katika shughuli za kiuchumi .

    'Inclusive Development Index (IDI) ni tathmini ya kila mwaka ya utendaji wa uchumi wa nchi 103 ambayo inaangalia njisi nchi hizo zinafanya kazi katika vipimo kumi na moja vya maendeleo ya kiuchumi, pamoja na Pato la Taifa.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako