Ni mwezi mmoja tangu kamati hiyo iliyoingia nchini Kenya tangu mwezi mmoja uliopita ikiwa chini ya katibu wake Sadler Forster, na tayari imekwishafanya mahojiano na wanaridha pamoja na maofisa wa chama cha riadha katika miji ya Nairobi na Eldoret.
Mwaka 2015, IAAF iliwasimamisha viongozi watatu wa chama cha riadha Kenya kwa kile kilichodaiwa kuhujumu zoezi la kupima hali za wanariadha kuhusu matumizi ya dawa za kuongeza nguvu michezoni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |