Ikiwa imesalia miezi michache kuanza kwa mashindano ya kombe la dunia, kumekuwa na hofu mpya kufuatia ibuko la nzige waharibifu nchini Urusi ambao wameanza kushambulia mimea.
Kwa kuwa nzige hupendelea majani ya rangi ya kijani, mamlaka za nchi hiyo zimeingiwa wasiwasi kwamba huenda wakaanza kuvamia viwanja vitakavyotumika kwenye mashindano hayo yatakayoanza rasmi juni 14 mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |