Waziri wa mpango wa Iraq Salman Al Jumili amesema ukarabati nchini humo unahitaji dola za kimarekani bilioni 88.2. Amesema thamani ya uharibifu uliotokana na operesheni za kijeshi dhidi ya kundi la IS imefikia dola za kimarekani bilioni 45.7, na sekta zilizoathiriwa zaidi nchini humo katika vita hiyo ni pamoja na nyumba, umeme, viwanda, biashara, mafuta, gesi na usafiri.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |