Zaidi ya bidhaa 32 za maziwa kutoka kampuni 8 nchini Rwanda zimepewa alama ya ubora ya S na halmashauri ya viwango vya bidhaa nchinihumo,
Bidhaa hizo zimepewa alama hiyo baada ya kukaguliwa na kupita viwango vinavyohiyajika vya ubora.
RSB imesema idadi ya bidhaa zinazopewa alama ya S imeongezeka tangu mwaka 2017.
Baadhi ya bidhaa zilizopewa alama hiyo ni kama vile maziwa, jibini na maziwa lala.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |