• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rwanda: Bidhaa zaidi ya 30 za maziwa zapewa alama wa S Rwanda

    (GMT+08:00) 2018-02-13 19:34:23

    Zaidi ya bidhaa 32 za maziwa kutoka kampuni 8 nchini Rwanda zimepewa alama ya ubora ya S na halmashauri ya viwango vya bidhaa nchinihumo,

    Bidhaa hizo zimepewa alama hiyo baada ya kukaguliwa na kupita viwango vinavyohiyajika vya ubora.

    RSB imesema idadi ya bidhaa zinazopewa alama ya S imeongezeka tangu mwaka 2017.

    Baadhi ya bidhaa zilizopewa alama hiyo ni kama vile maziwa, jibini na maziwa lala.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako