Rwanda inatarajia kuwa na ukuaji wa kiuchumi wa hadi asilimia 5.9 mwaka huu w 2018.
Hata hivyo waziri wa fedha na mipango ya kiuchumi Claver Gatete asilimia hiyo 5.2 ni ya chini ikilinganishwa na matarajio ya awali ya silimia 6.2.
Katika robo ya tatu ya mwaka 2017 uchumi wa Rwanda ulikua kwa asilimia 8
Waziri Gatete pia amesema bajeti ya mwaka 2017/18 imepandishwa kwa dola milioni 24.5 ili kutekeleza miradi ya miundo mbiu na sasa itakuwa dola bilioni 2.58.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |