Club ya Chelsea ikiwa nyumbani imeendeleza rekodi yake kwa kupata sare yake ya tatu mfululizo dhidi ya Barcelona, baada ya kufungana goli 1-1, goli la Chelsea likifungwa na Willian dakika ya 62 huku la Barcelona likifungwa na Lionel Messi dakika ya 75, hivyo Chelsea ana kazi ya kwenda kupindua mechi ya marudiano Nou Camp kwani ni lazima apate ushindi au sare ya kuanzia magoli mawili.
Mechi nyingine Bayern Munich imeibamiza bila huruma Besikta goli 5-0.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |