Mapato ya mauzo ya madini Rwanda yalichangia kiasi kikubwa katika mapato ya ubadilishanaji wa kigeni katika kipindi cha mwaka 2017.
Usafirishaji wa madini uliongezeka kwa zaidi ya asiilimia 210 hadi $248.5 milioni mwaka uliopita ikilinganishwa na $80.1 milioni katika mwaka uliopita.Maendeleo hayo mapya yamefufua matumaini miongoni mwa wadau wakati soko la madini likiendelea kupanuka.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |