Sekta ya ujenzi wa nyumba nchini Uganda ilikuwa na upungufu wa bei kufikia mwisho wa mwaka 2017.
Taakwimu za idara ya kitaifa nchini humo zinaonyesha kwamba gharama ya ujenzi ilipanda kwa angalau asilimia 0.6 kwa bidhaa kama vile, vyuma, dizeli na saruji.
Mtaalam mkuu wa taakwimu kwenye sekta ya ujenzi Dick Wanasolo, anasema gharama kwa wajenzi wa nyumba pia imechangiwa pia na ukosefu wa barabara na maji.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |