Kampuni ya pombe nchini Rwanda Bralirwa imezindua bidhaa mpya, bia aina ya Amstel.
Hafla ya kuzinduliwa kwa bidhaa hiyo imefanyika mjini Kigali na kuhuduriwa na maafisa wa kampuni hiyo pamoja na wateja.
Mkuu wa mauzo wa Bralirwa Peter Karadjov amesema bia mpya hiyo ambayo pia imezinduliwa nchini Kenya itauzwa kwa frac 600 katika vlabu vyote nchini humo.
Amstel pia iko kwenye nchi nyingine 170 dunuani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |