Mshindi wa kwanza wa mbio hizo Cosmas Muteti wa Kenya alifanikiwa kutwaa medali ya dhahabu huku akiwaacha wengine umbali mrefu. Akikabidhi medali hizo, Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo wa Tanzania Dkt. Harrison Mwakyembe amesema mashindano hayo yanaumuhimu mkubwa licha tu ya kuboresha afya lakini pia kukutanisha watu tofauti na kushirikiana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |