Mwanasoka huyo amechaguliwa na kupata tuzo hiyo baada ya kuwashinda wenzake wawili, kiungo Chrispin Odour wa Mathare United na mshambuliaji Meddie Kagere wa K'ogallo Gor Mahia.
Tuzo hiyo hutolewa na chama cha wanahabari za michezo nchini Kenya (SJAK).
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |