Mshindi wa nishani ya fedha katika mbio za mita 400 Barani Afrika Alex Sampao ameelezea imani yake kuwa atanyakua nishani ya dhahabu, hii ikiwa ni mara yake ya kwanza kushiriki kwenye michezo hii.
Michezo ya jumuiya ya madola mwaka huu inatarajiwa kuanza April 15 mwaka huu mjini Gold Coast Australia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |