Mwanariadha wa Afrika Kusini Mhlengi Gwala nusura akatwe miguu aliposhambuliwa na kundi la wanaume alipokuwa anafanya mazoezi jumanne alfajiri pwani ya Durban.
Polisi nchini humo wamesema wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo licha ya kuwa mwanariadha huyo hakuwafahamu washambuliaji hao. Mwanariadha huyo amelazwa katika hospitali huko Kwazulu-Natal.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |