Imeelezwa kuwa asilimia 88 ya wanachama wa kundi hilo wamepiga kura na kuadhimia katika kikao kuwa watawasilisha maoni yao kwa uongozi wa klabu hiyo ili maoni yao yafanyiwe kazi.
Uamuzi huo wa kupiga kura umekuja katika kipindi ambacho Arenal imepoteza mechi nne mfululizo katika mashindano matatu tofauti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |