Mwenyekiti wa chama cha mpira wa kikapu Arusha Said Akilimali amesema mechi za ligi hiyo zitachezwa nyumbani na ugenini kabla ya ubingwa wa mkoa. Timu zitakazoshiriki michuano hiyo itatumia viwanja vyao vya nyumbani ili kupata idadi kubwa ya watazamaji na kuhamasisha vijana kupenda zaidi mchezo huo wa kikapu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |