Timu hiyo itahitaji ushindi hata wa goli 1-0 nyumbani Uganda ili kwenda katika hatua ya makundi.
Matokeo ya mechi nyingine Al Ahly ya Misri iliitandika Mounana ya Gabon goli 4-0 mjini Cairo, Horoya ya Guinea ilishinda 2-1 dhidi ya Generation foot ya Senegal, Yanga ya Tanzania ikikubali kipigo cha 2-1 dhidi ya Township Rollers ya Botswana wakati Etoile Du Sahel ya Tunisia ikiifunga Plateau United ya Nigeria 4-2
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |