Mfaume pamoja na marefa wengine watatu wa Tanzania Bara, Frank Komba, Israel Mujuni Nkongo na Sudi Lila wanachunguzwa na Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kwa tuhuma za upangaji matokeo.
Marefa hao walichezesha mchezo wa ligi ya mabingwa kati ya Lydia Ludic ya Burundi na Rayon Sports ya Rwanda Februari 21, mjini Bujumbura.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |