Kwa sasa Edmund anatarajiwa kupeleka nguvu zote kwenye michuano ya ya wazi ya tennis ya Miami baadae mwezi huu. Edmund alichukua nafasi ya Andy Murray kama mchezaji wa kwanza kwa tennis nchini Uingereza kwa upande wa wanaume.
Sela atakutana na Marcos Baghdatis wa Cyprus ama Diego Schwartzman kutoka Argentina katika hatua ya 6 bora.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |