Timu ya Prisons imewafunga timu ya watoza ushuru ya Rwanda kwa seti 3-0, huku Pipeline wao wakiwafunga Cameroon Bafia kwa seti 3-2. Timu hizo sasa zitakutana leo katika mchezo wa fainali ya michuano hiyo mjini Cairo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |