Fiji ambao ni mabingwa wa michezo ya Olimpiki, wamekuwa wakifanya vizuri dhidi ya Kenya na huu umekuwa ushindi wake wa 34 katika historia ya nchi hizi mbili katika mchezo wa raga.
Kenya sasa inashikilia nafasi ya nane kwa alama 64 katika msururu wa mataifa yanayoshiriki katika michuano hiyo nyuma ya Uingereza ambayo inashikilia nafasi ya saba kwa alama 70.
Afrika Kusini inaendelea kuongoza kwa alama 109 huku Fiji ikiwa ya pili kwa alama 101.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |