Twiga stars itacheza dhidi ya She Polopolo ya Zambia April 4 uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na marudiano April 8 Lusaka Zambia.
Wakati huo huo, Timu ya Taifa ya wanaume ya Tanzania (Taifa Stars) inatarajiwa kucheza michezo miwili ya kirafiki katika kalenda ya FIFA inayoanza Machi 19 hadi 27 mwaka huu, dhidi ya zimu za taifa za Algeria na DR Congo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |