Mabao ya Sevilla yamefungwa na Ben Yedder dakika ya 74 na 78 kipindi cha pili, huku bao la kufutia machozi la Man U likifungwa na Lukaku dakika ya 84.
Katika mchezo wa kwanza uliopigwa Uhipania, timu hizo zilitoka sare ya bila kufungana. Kwa matokeo hayo yanaiondosha rasmi Man U kwenye michuano hii na inakuwa ni timu ya kwanza toka England kutolewa mashindanoni.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |