Serena aliyewahi kuwa mchezaji namba moja kwa ubora duniani amepoteza mchezo huo kwa jumla ya seti 6-3, 6-4. Venus yeye amefanikiwa kusonga mbele hadi raundi ya 16 ambapo atakabiliana na Anastasija Sevastova.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |