Carrick alijiunga na Manchester United mwaka 2006 akitokea Tottenham Hotspurs kwa ada ya uhamisho wa pauni milioni 18 huku akicheza michezo 468.
Kufuatia kauli hiyo, kocha wa Man U, Jose Mourinho amesema atafurahi kuona Carrick akistaafu soka kisha aendelee kusalia ndani ya timu hiyo kwa majukumu mengine ya kazi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |