• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Carrick atangaza kustaafu soka

    (GMT+08:00) 2018-03-14 08:58:06
    Kiungo wa Manchester United, Michael Carrick ametangaza kustaafu soka baada ya msimu huu kumalizika.

    Carrick alijiunga na Manchester United mwaka 2006 akitokea Tottenham Hotspurs kwa ada ya uhamisho wa pauni milioni 18 huku akicheza michezo 468.

    Kufuatia kauli hiyo, kocha wa Man U, Jose Mourinho amesema atafurahi kuona Carrick akistaafu soka kisha aendelee kusalia ndani ya timu hiyo kwa majukumu mengine ya kazi.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako