Chelsea iliyoifunga Leicester City 2-1 katika mechi iliyodumu kwa dakika 120, itakutana na Southampton katika nusu fainali nyingine ya michuano hiyo.
Mechi zote mbili zinatarajiwa kuchezwa April 21 na 22 katika uwanja wa Taiga.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |