Teknolojia ya VAR inayotumika kuwasaidia waamuzi kuangalia replay na kufanya maamuzi yaliyokuwa sahihi, tayari ilikuwa imeshakubalika kutumika Afrika katika mchezo wa CAF Super Cup.
Rais wa FIFA, Gianni Infantino amethibitisha taarifa hizo wakati wa kikao cha FIFA kilichofanyika Bogota Colombia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |