• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Taifa Stars yaelekea Algeria bila Bocco.

    (GMT+08:00) 2018-03-20 10:05:58
    Kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania (Tifa Stars) kimeondoka jana mchana kuelekea Algeria kwa ajili ya mchezo wa kirafiki utakaochezwa Machi 22 mwaka huu.

    Wakati kikosi hicho kikisafiri, mshambuliaji John Rafael Bocco, ameshindwa kujumuika na wenzake kwenye safari kutokana na kuwa majeruhi naye Hamis Abdallah amebaki kutokana na matatizo ya kiafya.

    Mbali na wachezaji hao, wengine walioachwa ni Thomas Ulimwengu na Farid Mussa ambao inaelezwa wamekosa ruhusa kutoka timu wanazochezea.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako