Karia ameyasema hayo katika mkutano na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam kuhusu mwenendo mzima wa TFF, na kueleza kuwa Makamu wake wa Rais Michael Wambura amefungiwa maisha kujihusisha na masuala ya soka na kamati ya maadili ya shirikisho hilo kutokana na makosa matatu ambayo ni kupokea fedha za TFF malipo yasiyo halali, kughushi barua na kushusha hadhi ya TFF.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |