Ronaldo alifunga bao la kwanza kwa kumalizia pasi ya Toni Kroos, Girona wakasawazisha na kufanya matokeo kuwa 1-1, Real Madrid ilifanya mashambulizi na kuongeza magoli mawili moja likifungwa na Ronaldo tena, Katika muda wa majeruhi, Christian Ronaldo aliongeza goli na kupiga hat-trick. Madrid sasa wako pointi 15 nyuma ya vinara wa ligi hiyo Barcelona.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |