Timu nyingine zilizofuzu hatua hiyo ya 16 bora ni Angola de Agosto ya Angola, Township Rollers ya Botswana, TP Mazembe ya Jamhuri ya KIdemokrasia ya Congo (DRC), Al-Ahly ya Misri na Horoya ya Guinea, nyingine ni Mamelodi Sundowns, Mbabane Swallows ya Swaziland, AS Togo- Port ya Togo, KCCA ya Uganda na ZESCO United ya Zambia. Kutakuwa na makundi manne kila moja litakuwa na timu nne na ashindi wawili wa kila kundi watakwenda robo fainali ya mtoano.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |