• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Nchi za Afrika zatakiwa kutekeleza makubaliano ya soko huru

    (GMT+08:00) 2018-03-20 18:15:15

    Mwenyekiti wa tume ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat, anatoa wito kwa nchi za Afrika kupitisha na kuanza kutekeleza makubaliano ya soko huru la bara hilo ambayo.

    Amesema makubaliano hayo yatawezesha ukuaji wa haraka wa kiuchumi na biashara barani Afrika.

    Mahamat ameyasema hayo mjini Kigali ambapo mkutano usiokuwa wa ratiba wa 18 wa umoja wa Afrika unaendelea.

    Mwenyekiti huyo aidha amezitaka nchi za Afrika kutokuwa na hofu kuhusu makubaliano hayo kwani hali kama hiyo itakuwa kizuizi cha biashara.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako