Wakulima hao wanazalisha mahindi na mtama kwa wingi lakini madalali hununua kwa bei ya chini na baadaye kuuza kwa bei ya juu.
Sasa chama chao kikiwa na zaidi ya wakulima 960 watakuwa na hifadhi ya zaidi ya tani 900 za nafaka kila mwaka na hivyo kuwawezesha kupigania kupata bei zuri kutoka kwa makampuni ya nchi jirani za Kenya, Tanzania na Rwanda.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |