Aidha wawezezaji hao chini ya chama cha viwanda cha Misri wanapanga kuwekeza kwenye sekta ya madawa na mifuko ya upakiaji.
Tayari wamekutana na wadau wa sekta ya kibinafsi nchini Rwanda na kukubaliana kuongeza ushirikiano wao.
Mwenyekiti wa chama cha wenye viwanda wa Misri Sherif El Gabaly, amesema wamevutiwa na Rwanda kwa sababu ya mazingira yake tulivu ya kufanya biashara.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |