Ujenzi wa laini hiyo unatarajiwa kuanza mwezi Julai baada ya serikali kupata mkopo kutoka China.
Mkurugenzi wa Ketraco Fernandes Barasa amesema laini hiyo ya kilomita 520 ya kilovolts 400 itagharimu dola milioni 220 (sawa na dola bilioni 22) na itakamilika baada ya miezi 36.
Laini hiyo inatarajiwa kusafirisha megawati 960 za umeme kutoka kwa kituo cha Lamu hadi mjini Nairobi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |