• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya: Brookside kuendela kununua maziwa licha ya ongezeko

    (GMT+08:00) 2018-03-20 18:16:59
    Kampuni ya maziwa ya Brookside imesema itaendelea kununua maziwa yote kutoka kwa wakulima walio na mkataba na kampuni hiyo licha ya mvua ya sasa ambayo inaweza ikasababisha kuongezeka kwa mawiza.

    Mkuu wa ununuzi wa kampuni hiyo John Gethi amesema watanunua maziwa kutoka kwa wakulima wote 160,000 kutoka kote nchini Kenya.

    Tangazo hilo la Brookside ni afueni kwa wafugaji wa ng'ombe wa maziwa waliokuwa na hofu kwamba hawataweza kuuza bidhaa yao yyote wakati kuna wingi wa maziwa.

    Kampuni hiyo ina uwezo wa kusindika lita milioni 1.5 za maziwa kila simu na ina mgao wa asilimia 45 wa maziwa yote nchini Kenya.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako