Mwezi Julai Tanzania itapokea ndege aina ya Boeing 787 Dreamliner kusaida juhudi zake za upanuzi.
Serikali pia inatarajia ndege mbili mpya za Bombardier CS300, ambazo mikataba ya ununuzi imekamilika.
Miaka miwili iliyopita, Tanzania ilianzisha mpango wa kuimarisha uchukuzi wa angani mpango huo ukiwa ni pamoja na ununuzi wa ndege sita mpya kati ya 2016 na 2018, malipo ya madeni na utoaji wa mitaji ya kuanza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |