Akizungumza katika kikao kazi cha kupitia bajeti ya Tamisemi na mikoa,Jafo alisema viwanda hivyo vimejengwa ndani ya miezi mitatu tangu kutolewa kwa agizo hilo.
Alisema agizo hilo bado linaendelea kutekelezwa na kila mkoa unatakiwa kuhakikisha unajenga viwanda 100 kufikia Desemba 31 mwaka huu.
Alibainisha kuwa kupitia wakuu wa mikoa,ajenda ya Rais John Magufuli ya Tanzania ya Viwanda inatekelezwa na kuwataka waendelee kuitekeleza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |